Pages

Tuesday, June 26, 2012

MAANDAMANO

Vijana Wa Tandika Kwa Pamoja Tutafanya Maandamano Yatakayoanzia Tandika Mpaka Dodoma (Bungeni) Kwenda Kudai Iwekwe Sheria Na itambulike Kuwa Wizi Ni Taaluma Kama Taaluma Zingine , Tunatumia Akili , Tunaweza Kukuibia Hata Kama umesoma , Tuna Mbinu Za Hali Ya juu , Tuheshimiwe , Tuko Tayari Kulipa Kodi Kuongeza Pato La Serikali ,
C.J.Webber Prezidaa

No comments:

Post a Comment