Pages

Friday, June 15, 2012

MTOTO RUKIA AFARIKI DUNIA

Ndugu zangu wapendwa najua tulimpenda sana mtoto RUKIA na kuamua kujitolea kwa hali na mali lamini Mungu amempenda zaidi.Kazi yake mola aina makosa.RUKI AMEFARIKI DUNIA JIONI HII,mnamo saa 12:45 jioni hii ameaga dunia.Maralia yalimpata jana jioni,jitihada zilitumika kumuokoa lakini Mungu amemwita ktk makazi ya milele.Nafanya jitihada za kuondoa mwili wa marehemu kesho asubuhi tayari kwa mazishi.Mkurugenzi mtendaji wilaya ya Ruangwa amenithibitishia kunipa gari la wagonjwa kesho asbuhi.kwenda kuchukua mwili wa marehemu
Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi
amin

No comments:

Post a Comment