Pages

Sunday, June 24, 2012

HATA KWETU WAPO

Raia wa Japan ambao wapo Mtoni kwa Kindande wakiwa katika mafunzo ya kutaka kujua uhalisi wa maisha halisi ya uswaz dhumuni kubwa la kutembelea mitaa ya uswahilini ni kujua watu wanaishi vipi katika maeneo hayo.

Mwenyeji wa wageni hao akiwa na mgeni wake

Mkuu wa Kitengo cha utamaduni cha Japan akiwa Sudi Saidi ambaye ndie mwenyeji wao

No comments:

Post a Comment