Pages

Saturday, January 29, 2011

YANGA vs DEDEBIT HAKUNA MBABE

 Mechi kati ya Yanga na Dedebit sports ikiendelea
 Mashabiki waliojitokeza katila Mpambano huo

 Kipa wa Yanga akipata huduma ya kwanza baada ya kuumia

 Mjumbe wa kamati kuu ya Chama cha Mpira wilaya Temeke Said Akida

 Dedebit wakishangilia goli la nne
 Filimbi ya mwisho kupulizwa

 Kocha Msaidizi wa Yanga Salvatory Edward

Mashabili wakitoka nje baada ya mchezo kwisha hadi mwisho Yanga 4 - Dedebit 4

1 comment:

  1. Mbabe yupo kaka kwani hujaona game ilivyokuwa

    ReplyDelete