Pages

Saturday, January 1, 2011

MECHI YA KUAGA MWAKA 2010 TEMEKE VETERAN vs TEMEKE SQUAD

 Kocha wa Kagera Sugar Mlage Kabange alikuwepo
 David Beatus mwenye kofia na shilton
Kanakamfumu na Peter Mkwera
 Temeke Veteran Wakiwa katika Picha ya pamoja
 Picha ya Pamoja Temeke Veteran na Temeke Squad
 Mish Digital Production Said Bungara mwenye flana nyeupe

katika mechi hiyo ya kuaga mwaka 2010 na kukaribisha mwaka 2011 Temeke veteran iliweza kuwafunga Temeke Squad kwa jumla ya goli 3-2 mechi iliyochezwa katika uwanja wa tmk squad mechi hiyo dhumuni ilikuwa ni kijaribu kuwahamasisha vijana katika kuupenda mpira na kuwapa changamoto mbalimbali zinazotokea katika mpira wa sasa

No comments:

Post a Comment