Pages

Monday, January 17, 2011

TOBOA TOBO aka KITOBO

 Toboa Tobo akiendelea kuonyesha ufundi wake
 Baadhi ya mashuhuda waliokuwepo katika eneo hilo

 hapa kuna kitu alikifukua ndio kikawa kinachomwa moto amesema ni chuma ulete watu wa nyumba hiyo walikuwa wakiweka pesa zao hazikai

 kitu alichokikamata ndio hicho alichosema ni chuma ulete

ANAITWA Husein Zayumba Toboa Tobo aka Kitobo ni mganga wa jadi Mitaa ya Temeke, Eneo la Tandika huyu jamaa sera zake sawa na manyaunyau anachinja paka na ile damu ya paka anakunywa navyosikia kazi yake kubwa wanavyosema ni kutoa misukule, kuvumbua wachawi na nini sijui nilikutana nae mitaa ya Temeke Wailes mtaa wa mkumba aliitwa kutoa msukule lakini mpaka naondoka hakuna kilichoendelea na anasema yy ndio aliyemfundisha manyaunyau ila yeye tu hafahamiki kwa wenye imani nae haya Bingwa huyo wa kuvumbua wachawi

1 comment: