Pages

Saturday, May 18, 2013

WATANI WA JADI: YANGA YAITAMBIA SIMBA

 Wapenzi wa mpira waliofurika uwanja wa Taifa kuona mechi ya watani wa jadi
 Napunguza uongo foleni ilianzia Taifa mpaka Uhasibu
 Hii mechi ilikuwa kati ya SIMBA B na YANGA B ambayo simba ilishinda 1

 Hapa ndio picha linaanza wachezaji wa Simba wakiingia uwanjani kwa maandalizi ya mechi




 Wachezaji wa Yanga wakishangilia goli la kwanza lililofungwa na Kavumbagu




 Goli la pili lilifungwa na HAmisi Kiiza

 Hapa refa sijui nini kilimsibu
 Refa akipata huduma ya kwanza baada ya kuanguka
 Kocha msaidizi wa Yanga Fred Minziro akibebwa juu baada ya ushindi wa 2-0
Jukwaa linaandaliwa