Pages

Sunday, May 26, 2013

JUMP OFF EPIC OPEN MIC YAWASHIKA TEMEKE

 Nash Emcee akiwa na King Zilla kaika tamasha la Jump off epic open mic ambayo dhumuni la tamasha hilo ni kutafuta vipaji vipya waandaji wa tamasha hilo walikuwa ni Times FM, Zantel na mtayarishaji wa \muziki wa Tanzania marco chali
 Umati wa watu waliofurika
 Crew ya Times FM: Bi Natasha, Cliford na Mona
 Walter Chilambo na Zila

 Ilikuwa hatari watu kibaoo
 Nash Emcee akifanya yake

 mmmmmmmmmmh hii kiboko
 

 King Zilla akitupa lakuchumpa
 Waliofanya burudani inoge Kobo na KU
 Mtayarishaji wa Muziki Marco Chali akiwaelezea wananchi kilichowapeka pale
Sie tusiesikia yalitukuta haya
 Fella na babu Talle
 Walter \chilambo alifanya kazi nzuri
 Rais wa Manzese Madee aliinyamazisha Temeke kwa muda
 Madee anamtafuta aliyemwaga pombe yake

 Vinega: Mapacha na Rama dee

 Ney wa Mitego
 hapa unapigwa Muziki gani kati Diamond na Nay wa Mitego utaona video yake baadae hatari
 Mkubwa Fella akijaribu kuongea na mtu aliyetaka kuharibu sherehe
Big Jah ndio alikuwa mambo yote pamoja na Fella na Promota Bonga