Pages

Wednesday, May 22, 2013

AJALI: LORI LA MAFUTA LAPINDUKA MACHINJONI

 Lori la mafuta ya kupikia limepinduka leo asubuhi maeneo ya Chang`ombe Machinjoni, hapa lori likiwa limeiangukia gari
 Kufa kufaana mafuta yaliyomwagika watu wakapata kazi za mda
kazi ya kusomba mafuata inaendelea halafu tunakuja kuuziwa.

 Mafuta yakiendelea kuchotwa
Gari ikiwa imeharibika vibaya

Picha: Mdau
Filemon Rupia