Pages

Sunday, January 27, 2013

YANGA 3 - TZ PRISONS 1

 Magoli yaliyofungwa na Jerry Tegete (2) na Mbuyi Twitte yaliiwezesha Yanga kuendelea kuongoza ligi ya Vodacom Tanzania kwa tofauti ya pointi tano na timu ya Azam
 Nyomi
 Wachezaji wa Prisons wakifanya mazoezi katika mda wa mapumziko
 VIP
 Wachezaji wa Yanga wakiingia uwanjani


 Jerry Tegete akifunga goli la tatu


 Mwenemti Zaharani Bwax akishangilia timu yake