Pages

Sunday, January 27, 2013

YANGA YA UTURUKI YAMUINGIZA UWANJANI

 Polisi wakiwa nyuma ya goli wakimzuia mlemavu aliyetaka kuingia uwanjani ili kumwambia kipa wa yanga Ali Mustapha(Bartez )akomae tu ndio lilikuwa neno lake kubwa
 Polisi wakimbeba msobe msobe mlemavu huyo. Sijapenda uchukuaji huu wa Polisi na ukiangalia na hali halisi ya huyu mchukuliwaji


 Kama wanabeba mzigo

 Hawana hata huruma hawa jamaaa



ivute kwa ukaribu hii picha na uone alivokuwa anafanywa