Pages

Sunday, March 25, 2012

SIMBA 2 - E.S.S 0

 Washabiki wa Simba waliofika Uwanjani kushuhudia timu yao (HAKUNAGA)
 Moja ya hatari katika lango la E.S.S
 Pass Master Mwinyi kazimoto akiwa kazini
 Haruna Moshi Boban aliyekaa chini baada ya kuchezewa faulo
 Felix Sunzu akijaribu kuukimbilia mpira
 Kutoka kulia: Ngawina Ngawina, Jemedali Saidi, Abuu Mtiro wakifatilia pambano hilo
 Washabiki wa simba wakishangilia ushindi wao wa goli 2-0 mechi iliyochezwa katika uwanja mpya wa Taifa
Shabiki namba moja wa OKWI

1 comment: