Pages

Wednesday, February 15, 2012

YALIYOMKUTA MWENZENU HOSPITAL TEMEKE

 Fauz Seif Hapa alipokuwa South African katika chuo Uhasibu Pretoria
 Hapa akarudi nyumbani kwa likizo akapata ajali ya pikipiki barabara ya Pugu karibu na Airport, na hapa akapelekwa hospital ya Temeke kwa matibabu zaidi.
 Hapa baada ya kufanyiwa Operesheni ya mguu katika hospital ya Temeke lakini hali ikawa tofauti kadri siku zilivyokuwa zinaenda mguu ukawa unazidi kujaa ikaja kugundulika kuwa chuma alichowekewa kilikuwa na kutu ikabidi wampasue tena lakini hali ikawa mbaya zaidi
 Na kwa sasa yuko India akipata matibabu ya mguu huo na hivi ndio hali ya mguu wake ulivyo
 Baadhi ya madaktari wakimshughulikia mguu ambao umeleta tatizo
Hivi sasa hali ya mguu wake ulivyo kwa sasa nchini India  na maendeleo yake ni mazuri

No comments:

Post a Comment