Pages

Monday, February 13, 2012

WAWILI WAFA WAKISHEREHEKEA UBINGWA



Wakati timu ya Taifa Zambia (Chipolopolo) wamewasili Jumatatu huku wakipokewa na maelfu ya mashabiki baada ya kufanikiwa kuchukua kwa mara ya kwanza ubingwa wa Afrika
Wakati hayo yakiendelea inasemekana kwamba kuna watu wawili wamefariki katika kusheherekea ushindi huo.

No comments:

Post a Comment