Pages

Friday, January 10, 2014

SIMBA YATINGA FAINALI MAPINDUZI

 Simba imefanikiwa kuingia hatua ya fainali baada ya kuifunga URA ya Uganda  goli 2-a magoli ya Simba yalifungwa Amri Kiemba, na Joseph Owino, Simba itakutana na KCC katika fainali ambayo waliifunga Azam 3-2 na fainali inategemewa kuchezwa Jumatatu katika uwanja wa Aman
 Uhuru Seleman na Haruna Chanongo wakiwa wamepumzika baada ya mechi
 wachezaji wa Simba wakiwa pamoja