Pages

Friday, January 24, 2014

MTAZAMO WA BLOGU ZETU-SUDI MNETE


Kwa kweli nasikitika sana, hizi blogu za nyumbani kwa kiasi kikubwa zinakuwa kama radio nyingi za nyumbani, nikisema nyumbani namaanisha Tanzania kwa mambo kadhaa kwanza kwa kuchukuliana taarifa yaani, ukiona habari moja basi hiyo hiyo, hata kama imekosewa utaiona katika karibu blogu zote, pilia kuna watu wanazungumziwa katika maisha ya kila siku haohao, sijui nani Sepetu mara kafanya hivi mara vile, tatu hata hizo habari wanazoweka na picha za watu hao hazina umhimu wowote kwa jamii. Nyinyi waandishi wa hiyari wenzangu, kabla hujasambaza chochote katika mtandao ebu tumia tu akili ya kawaida kujiuliza je, hiki nnachokisambaza kwa umma kina faida gani!!