Pages

Tuesday, January 7, 2014

HILAL MOHAMED (DADDY BROWN) AZIKWA LEO KIBAHA

Marehemu Daddy Brown enzi za uhai wake

 Baadhi ya rafiki waliojitokeza leo kwenda kuaga mwili wa marehemu hospital ya Muhimbili
 Muddy K mwenye flana nyeusi akiwa na Hassan daruiwesh na Adil katika hospital ya Muhimbili
 Ndugu na jamaa waliojitokeza

 Msemaji mkuu katika msiba huo Ustadh Juni akitoa maelezo na utaratibu utakavyokuwa
 Mwili wa marehemu ukibebwa kwenda kupumzishwa
Jerry Koto akiwa amebeba jeneza la rafiki yake Dady Brown
 Hapa ndio ikawa mwisho wa ndugu yetu rafiki yetu, jirani yetu Daddy Brown.
Mungu amlaze mahali pema peponi amin !