Pages

Monday, January 6, 2014

MECHI YA FUNGA MWAKA:WAKONGWE WACHEZEA 6

 Mechi inayochezwa kila mwaka mara moja kati ya  wakongwe na vijana katika uwanja wa squad mwaka huu wakongwe wamechezea goli 6-3 wakongwe walikuwa wakiongozwa na David Beatus, Abdillah Ndonga, chale bonny, Jax Harambe, ngawina ngawina, Hassan Banyai, Peter Kabea,Kijiko, Abeid Mvuma, Photonatus Mang`wela, kablau, |salum Testa, Simon Bute, Kapilima, kessy mapande (geda)
 Vijana: Juma Malenga. Kibazo, Dilunga, Ngalema, West, Kibazo, Jafari Dikongwa, Tola, Samir Luhava, Magay John,
 Jax Harambe akijaribu kumtoka Jafari kaptain
 Photo me mratibu wa mashindano haya kila mwaka
 Hassan Banyai Ginks na Kablau
 Abeid Mvuma akiwa kazini
Hatari katika lango la timu ya Vijana