Pages

Saturday, March 16, 2013

YANGA YAIFUNGA RUVU SHOOTING

 Goli lilifungwa na Hamis Kiiza limezidi kuipaisha Yanga katika nafasi ya kwanza baada ya kuifunga Ruvu shooting goli 1-0


 washabiki wa Yanga
 Wadau kushoto: Amigo, Sayanah Mwalongo na Mussa wakifatilia pambano

 Hassab Dilunga akijaribu kuwapita wachezaji wa Yanga Haruna Niyonzima na Abdul Juma

Hassan Dilunga mmoja wa kiungo tegemezi wa Ruvu Shooting