Pages

Monday, December 24, 2012

MDAU SAID WA BUNGARA AUWAGA UKAPERA

 Ndio mwenyewe kweli Said Bungara akimfunua shera mkewe Bi. Rehema,
 Said Bungara akiwa na Mpambe wake kabla ya kufungwa kwa ndoa.

 Bw. Said Bungara na Mkewe Bi. Reheama wakina nyuso za furaha baada ya kufunga ndoa hiyo katika ukumbi wa Kilamuu Mbezi Beach
 hayawi hayawi sasa yamekuwa
Bi. Rehema katika mapozi tena