Pages

Friday, December 7, 2012

KALI YA LEO

Mwalimu wa History Darasani akiwauliza Wanafunzi
Mwalimu: Enhee, Ni Nani Aliyemuua Chifu Mkwawa?
Mwanafunzi 1: Aku Sio Mimi!
Mwanafunzi 2: Wallah !Sihusiki !
Mwanafunzi 3: Kwanza Mimi Jana Sikuja Shule !
Mwalimu Alipoona Kuwa Wanafunzi Wote Ni Majuha Akaamua Kumuita Mkuu Wa Shule, Mkuu Wa Shule Alipoenda Kuwauliza Lile Swali Mambo Yakawa Vlevle. Ndipo Mkuu wa shule Alipomuita Mwalimu Pembeni Na Kumnong'oneza "Lakini Una Uhakika Muuaji Yupo Darasa Hili?