Pages

Monday, March 2, 2015

VIONGOZI WANANCHI WALIVYOMUAGA CAPT.KOMBA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania DK. Jakaya Mrisho Kikwete, akiongoza maelfu ya Watanzania kuuaga mwili wa Kapteni John Komba, katika viwanja vya Karimjee  jijini Dar es Salaam.…
Jeneza lenye mwili wa marehemu likiwa viwanja vya Karimajee.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania DK. Jakaya Mrisho Kikwete, akiongoza maelfu ya Watanzania kuuaga mwili wa Kapteni John Komba, katika viwanja vya Karimjee  jijini Dar es Salaam.
Rais Mstaafu wa awamu ya pili wa Tanzania Ali Hassani Mwinyi akipita kando ya jeneza lenye mwili wa John Komba.
Rais Mstaafu wa awamu ya tatu Benjamin Mkapa akitoa heshima za mwisho.
Spika wa Bunge la Tanzania, Anne Makinda akiaga.
Waziri Mkuu aliyejiuzulu, Eduard Lowassa, akipita kando ya jeneza.
Huyu ni Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM),  Abdulahman Kinana.
Aliyekuwa Katibu Mkuu wa zamani wa CCM. Yusuf Makamba akilia kwa uchungu wakati anakaribia jeneza.
Huyu ni mwanasiasa mkongwe Kingunge Ngombale-Mwiru.
Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi James Mbatia.
Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP Dk. Rejinard Mengi akiaga.
Waziri wa Utalii Razaro Nyalandu akiaga mwili wa marehemu John Komba.
Mkuu wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Kamishna wa Polisi, Selemani Kova, akipiga saluti wakati wa kuaga.

No comments:

Post a Comment