Pages

Monday, March 2, 2015

Aliyechomwa afauru

Msichana huyu Aisha Nabukeera alichomwa na mama yake wa kambo mnamo mwaka 2006.

Habari hii iligonga sana vichwa vya habari vya Afrika Mashariki.

Mfanyabiashara mwenye mafaniko Frank Gashumba alimchukua na Kumfanya Mtoto wake na kumsomesha.

Sasa hivi amefaulu mtihani wake wa kidato cha sita na anategemea kujiunga na Elimu ya Chuo kikuu na ndoto zake ni kusomea sheria.
Chanzo:JF

No comments:

Post a Comment