Pages

Thursday, June 26, 2014

JALALA LAZIDI KUVAMIA UWANJA

 uchafu unavyozidi kuvamia eneo la uwanja
 Kitendo cha Manispaa ya Temeke kuendelea kulifumbia macho suala la dampo la muda lililopo maeneo temeke mwisho limezidi kuwa kero ambapo kwa sasa limeanza kuingia katika uwanja wa michezo wa eneo hilo.

No comments:

Post a Comment