Pages

Monday, September 9, 2013

VITAMBULISHO VYA URAIA-TEMEKE KATA YA MBURANI

 Wafanyakazi wanaohusika na masuala ya upigaji picha wakiwa maeneo ya Temeke kata ya miburani katika zoezi zima la kuhakikisha kila Mtanzania mwenye haki ya kupata kitambulisho hiko anapata
 Wasimamizi wa Mitaa walikuwepo katika kuhakikisha kila kitu kinaenda sawa
 Mitambo ikiendelea kufanya kazi
 Baadhi ya wananchi waliojitokeza katika upigaji picha
Magari yanayotumika kubebea baadhi ya vifaa vya