Pages

Monday, September 9, 2013

TEMEKE YAPOTEZA KWA KINONDONI KOPA KOKA KOLA

 Timu ya wanawake ya wanawake(15) ya Temeke imeweza kufungwa goli 1-0 na kinondoni katika mchezo uliochezwa katika viwanja vya karume Dar es Salaam, mchezo wa kwanza Temeke ilishinda kwa kuwafunga  Zanzibar goli 2-1
 Mchezaji wa Temeke akijaribu kuzuia mpira



Kaptain wa Temeke Fatuma Denca akihojiwa