Pages

Friday, April 26, 2013

Ngoma Africa Band inawatakia kila heri ya miaka 49 ya MUUNGANO wa Tanzania

Bendi ya muziki wa dansi "Ngoma Africa Band" a.k.a FFU yenye maskani nchini
Ujerumani
inawatakia kila la heri na fanaka ya MIAKA 49 YA MUUNGANO wa jamuhuri ya TANZANIA, watanzania wote popote walipo.
Muungano wetu wa bara na visiwani ni muungano wa undugu wa damu.
Mungu Ibariki Tanzania,
Mungu Ubariki Muungano wetu.