Pages

Tuesday, September 18, 2012

TUNA SAFARI NDEFU KWENYE MICHEZO-MWENEMTI

 Mshiriki pekee wa Tanzania katika mashindano ya Paralimpiki Zaharan Mwenemti amesema  tuna safari ndefu kwa Tanzania hadi kufikia hatua ya kuchukua medali, mshiriki huyu ambaye amerudi wiki chache zilizopita amesema kuna tofauti kubwa sana kati ya wao na sisi ni kuongeza juhudi zaidi na mazoezi ya mda mrefu kama wenzetu wanavyojiandaa.
Moja ya picha Zaharani akiwa Msumbiji katika mchujo
Zahrani akirusha tufe

No comments:

Post a Comment