Pages

Tuesday, September 11, 2012

SIMBA YAIFUNGA AZAM NGAO YA JAMII

 Kikosi cha Azam hii leo
 Kikosi cha Simba
 Washabiki wa Simba waliohudhuria katika mchezo huo wa ngao ya hisani


Magoli yaliyofungwa na Danny Akuffoh, Okwi na Mwinyi Kazimoto yameiwezesha timu ya Simba kuifunga Azam F.c 3-2 magoli ya Azam yalifungwa na John Boko na K. Tchetche. Simba ni mara ya pili mfululizo kuchukua ngao ya hisani

No comments:

Post a Comment