Pages

Sunday, August 10, 2014

MBUNGE ZUNGU AKUMBUKA MIFEREJI YAKE

Mbunge wa Ilala Mh.Mussa Zungu leo akiwa katika operesheni maalum ya kuondoa kero ya mifereji iliyoziba maeneo ya kariakoo na gerezani


baadhi ya eneo ambalo mifereji yake imeziba na kusababisha harufu mbaya

No comments:

Post a Comment