Pages

Wednesday, February 12, 2014

MAZISHI YA SEIF MTAMBO (ODERA)

 Baadhi ya waombolezaji wakibeba jeneza la aliyekuwa kipa wa zamani wa Mtibwa Seif Mtambo ODERA ambaye alizikiwa katika makaburi ya Mtoni kwa kindande
 Mbunge wa Temeke Mh.Abbas Mtemvu alikuwa mmoja wa wahudhuriaji katika msiba huo