Pages

Tuesday, November 26, 2013

FFU WAUTEKA MJI WA BREMEN UJERUMAN

 Kamanda Ras Makunja katika gwaride Bremen

 Wapenzi na mashabiki wa Ngoma Afrika Band ndani ya Ubersee Museum Bremen
 FFU wakishambulia jukwaa
 Mo benda mpiga Rhythm gitaa
 Glory Mndeke Mwimbaji rapa wa Ngoma Afrika Band
 Mpiga bass msaidizi wa FFU kijana Gaiilo
 Hili ndilo jengo la Ubersee-Museum Bremen lililotingishwa na FFU
 Kamanda Ras Makunja akiwa katika gari maalum akiwasalim wakazi wa Bremen
fan wa ngoma africa band akisainiwa autograph katika CD na Kamanda Ras Makunja

FFU wa Ngoma Africa Band wameliteka tena jiji la Bremen !

Wamevuna umati wa washabiki wa kimataifa


Bremen,Ujerumani,

Bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya Ngoma Africa band aka FFU ughaibuni,usiku tarehe 23 Novemba 2013 walifanikiwa kwa mara nyingine tena
kuliteka jiji la Bremen,kule ujerumani. Kiongozi wa bendi hiyo kamanda Ras Makunja wa FFU alikiongoza jukwaani kikosi kazi chake katika jumba la Übersee-Museum akiwa na matumaini kuwa wanaenda kumbuiza washabiki high class wenye adhi ya kibwanyenye lakini mziki ulipoanza mdundo uliwachanganya washabiki na kuwadatisha akili ! kila mmoja alijimwaga uwanjani !
Ngoma Africa Band walijikuta wapo katika kibarua kama kawaida yao cha kushambulia kwa virungu vya muziki na kufanikiwa kuutapanua uwigo wake
kwa kuwanasa washabiki wengi wa kimataifa.
Bendi hiyo maarufu iliyojiimarisha na kujenga himaya ya kimataifa kwa kutumia
muziki wake,meshatajwa mara nyingi kuwa bendi bora ya kiafrika barani ulaya,
bendi ya Ngoma Africa inafanananishwa sawa na kikosi maalumu cha kuzuwia ghasia FFU, pia ina majina mengi ya utani na kiusanii kama vile viumbe wa ajabu  "Anunnaki Elien" n.k ambayo imepewa na washabiki au wapenzi wake,kiongozi wake pia ana majina kama vile kamanda Ras Makunja wa FFU,mtawala wa Anunnaki Empire.
Ngoma Africa band wanasikika at www.ngoma-africa.com

Tuesday, November 19, 2013

WAILES YAWA GEREJI BUBU

         Njinjo barabara zimekuwa sehemu ya kupakila mmizigo na matengenezo ya magari


                       Hali ya sasa maeneo ya temeke wailes mtaa, wa ngarambe, mkumba, ngeta na Njinjo ilivyo kwa sasa.

Sunday, November 3, 2013

HAKIKA YA MTOTO AKRAM SAID BUNGARA

                         Mr & mrs bungara wakiwa katika picha ya pamoja na mtoto wao Akram          
Said akimkabidhi Akram kwa bibi yake

Familia ya said bungara inapenda kutoa shukrani kwa wote waliohudhuria katika tafrija hiyo iliyofanyika nyumbani kwa babu yake mtaa wa mjimwema 'B' Temeke




                                       

Friday, November 1, 2013

UTANUZI WA BARABARA YA KILWA ROAD

    Utanuzi wa barabara ya kilwa road ukiendelea, huku baadhi ya majengo yakibomolewa kupisha
                                                                    utanuzi huo
                               


                                     Maeneo ambayo kwa sasa yashaanza kubomolewa ni barabara ya bandari, gerezani
                                   mpaka kamata